Tuesday, August 22, 2023

Je WAJUA.. ?? KWANN KILA LENGO LAKO HALITIMII

 

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

πŸ’¦JE WAJUA...???πŸ’¦

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“


πŸ—£️Nakupa Siri Moja Muhimu Sana Kwenye Safari Yako Ya Utafutaji Yaah Hii Siri Endapo Utaifanyia Kazi Basi Asilimia Za Kufanikisha Mambo Yako Ni πŸ’― Hii Siri Haina Mbambamba Kabisa...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Ukitazama Picha Utaona Vijana Wa Jeshi La Kujenga Taifa(JKT) Unaweza Ukawa Unajiuliza Hii Picha Inahusiano Gani Na Mada Ya Leo Basi Kaa Kwa Kutulia Ndani Ya Muda Mfupi Ujao Utanielewa Kwanini Nimeiweka Hiyo Picha...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Natumaini Uwenda Wewe Unayesoma Huu Ujumbe Muda Huu Ushawahi Kupitia JKT Labda Ulienda Kama Kwamujibu Yaani Wale Waliomaliza Form Six Au Ulienda Kama Wakujitolea Ikiwa Na Maana Ni Wale Waliopitia Mchakato Wa Usahili Mikoani Hadi Kupata Hiyo Nafasi Au Ulishawahi Kusikia Story Za JKT Na Haujawahi Kwenda Bhasi Leo Tunazungumza Na Watu Wote Naamini Tutaelewana Tu...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Katika Sehemu Ambayo Wakiweka Malengo Yao Bhasi Lazima Yatimie Kwa Namna Yoyote Ile Ni JKT Yaani Hawa Jamaa Wako Seriously Sana Hawanaga Kubembeleza Mtu Uwe Unataka Au Hautaki Uwe Umechoka Au Unauvivu Utafanya Kazi Tu Kama Hautaki Ni Bora Urudi Kwenu Ila Sio Kukwamisha Kazi Zao...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Mtu Yoyote Aliyeenda JKT Atakama Alikua Hajui Kufanya Kazi Yaani Umetoka Kwenu Mboga 7️⃣ Ila Ukishatua JKT Utanyooka Tu Kazi Zote Utajua Sio Kulima Sio Kusafisha Mashamba Sio Kuhudumia Bustani N.K...


✍️✍️Sasa Siri Ambayo Leo Nitakujuza Ni Kwanini Wao Wakiweka Malengo Yao Lazima Yatimie Ila Wewe Ukiweka Malengo Yako Kutimia Huwa Ni Ngumu...


✍️✍️Nitakutajia Mbinu Wanazozitumia Na Endapo Mbinu Hizi Ukizitumia Katika Harakati Zako Za Utafutaji Mabadiliko Lazima Utayaona Kwa Kiasi Kikubwa Sana...


1️⃣ WANAFANYA VITU VYAO KWA MALENGO...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Siri Kubwa Wanayoitumia Watu Wa JKT Kutimiza Miradi Yao Haijalishi Ni Mikubwa Kiasi Gani Huwa Wanafanya Vitu Vyao Kwa Malengo (Target 🎯) Yaani Ukishatua JKT Lazima Kabla Ya Kuanza Kazi Mnajua Kabisa Lengo La Kazi Yenu Ni Lipi...??? Kama Ni Kusafisha Shamba Au Kulima Au Kuandaa Bustani Yaani Utajua Kwanza Kazi Yenu Inaishia Wapi Ili Kila Mmoja Ajue Yupo Pale Kwaajili Ya Kazi Gani Kwahiyo Katika Safari Yako Ya Upambanaji Hakikisha Unakua Na Malengo Na Unajua Unapambania Kitu Gani Hii Itakupa Mabadiliko Ni Tofauti Na Kuishi Bila Lengo Yaani We Upo Upo Tu...


2️⃣WANAUSIMAMIZI WA KINA KATIKA KAZI ZAO...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Bhana Bhana Ukiwa JKT Usitegemee Ipo Siku Utadanganya Sijui Unaumwa Au Sijui Utatoroka Kazi Zao πŸ˜‚πŸ˜‚ Kule Kuna Usimamizi Asilimia πŸ’― Yaani Mtakua Watu Wengi Ila Kila Mmoja Lazima Awepo Sehemu Anayotakiwa Kwenye Hili Ata Mkiwa Watu Elfu 2️⃣ Sijui Elfu 3️⃣ Hauwezi Kutoroka(Kudoji) Kutokana Na Usimamizi Wao Kuwa Mkubwa Bhasi Yale Wanayoyapanga Huwa Yanatimia Kwahiyo Kama Na Wewe Unataka Kufanikiwa Hakikisha Unasimamia Vitu Vyako Kwa Kina Acha Uvivu Hakikisha Pale Unapotakiwa Kuwepo Uwepo Acha Kusimamia Miradi Yako Kwa Simu πŸ“± Uvivu Wako Ndio Unasababisha Vitu Vingi Kutokwenda Sawa...


3️⃣ UTAFANYA KAZI KATIKA HALI YOYOTE ILE IWE JUA IWE MVUA...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Kuna Ile Kawaida Ya Kudeka Yaani Ukiwa Unapambana Peke Yako Unajiamulia Tu Leo Sifanyi Kazi Sijui Leo Nimechoka Au Sijui Nitafanya Baadae Au Sio Lazima Kumaliza Kwasasa Yaani Unajipa Excuse Ambazo Muda Mwingine Hazina Maana Bhasi Tu Kwakua Wewe Ndio Boss Sasa Maisha Ya JKT Hayana Hiyo Wao Wakiwa Na Lengo Lao Haijalishi Umechoka Sijui Haujisikii Kufanya Kazi Sijui Mwili Unahisi Hauko Sawa Wao Iwe Jua Iwe Mvua Utafanya Kazi Ili Lengo Litimie Hakuna Kubembelezana Yaani Kwenye Hili Kama Hauamini We Nenda Utakuja Kutoa Ushuhuda Kwahiyo Ndio Maana Huwa Wanafanikiwa Na Wewe Unatakiwa Kwenye Harakati Zako Acha Kujipa Visingizio Hakikisha Unapambana Bila Kuchoka...


4️⃣ WANAZINGATIA MUDA KULIKO KAWAIDA...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Hakuna Sehemu Ambayo Wanazingatia Muda Kama Jeshini Yaani JKT Muda Wote Unazingatiwa Utakua Sehemu Husika Kulingana Na Ratiba Yao Kama Ni Muda Wa Shamba Bhasi Watu Wote Watakuwepo Shamba Kama Ni Muda Wa Chakula Bhasi Watu Wote Watakuwepo Kwenye Chakula Kwahiyo Kuishi Kwa Kuzingatia Na Kuthamini Muda Ni Njia Moja Wapo Ya Kukufanya Ufanikishe Mambo Yako...


5️⃣MWISHO KABISA WANAISHI KWA RATIBA (TIME TABLE)...


πŸ§‘‍✈️πŸ§‘‍✈️Maisha Ya JKT Yamefungamana Na Ratiba Muda Wote Yaani Ukiwa Kule Tambua Muda Fulani Natakiwa Kuwa Sehemu Fulani Tunaweza Sema Ni Ratiba Ya Siku Nzima Kuanzia Muda Wa Kuamka Hadi Muda Wa Kulala Kwahiyo Mafanikio Siku Zote Yanatengenezwa Na Siku Yako Umeitumia Vipi Haijalishi Unamalengo Ya Miaka 5️⃣ Kama Siku Inapitia Bila Nidhamu Hakuna Hatua Utakayopiga Mafanikio Yaanza Na Siku Yako Unavyoitumia Kwahiyo Kama Unataka Kufanikiwa Hakikisha Siku Yako Unaitumia Na Kuifanyia Kazi Ili Ufikie Malengo Yako Ila Kama Unaishi Kama Kunguru Wewe Ni Kuamka Kuzurura Na Baadae Kurudi Kwenye Kiota Sahau Kufikia Malengo Yako... 


✍️✍️Mtafute Mtu Aliyepitia JKT Muulize Kuhusu Haya Yote Niliyoyaeleza Atakuambia Yanaukweli πŸ’― Ila Sasa Watu Wakishapitia Maisha Ya JKT Wanashindwa Kuchukua Yale Mafunzo Waliyoyapata Na Kuyafanyia Kazi Katika Harakati Zako Kwasababu Wanatoka Na Hisia Kuwa Walikua Kwenye Mateso Na Sio Kujifunza Maisha...


✍️✍️Nakushauri Hakuna Mafanikio Mepesi Ukiona Mtu Kafanikiwa Kwa Jambo Lolote Jua Kuna Mpito Usio Wa Kawaida Kaupitia Kwahiyo Tukubali Kuumia Kwaajili Kesho Yetu Iwe Bora Zaidi...


πŸ™ Hongera Sana Naamini Sasa Umeshajua πŸ™

Monday, August 21, 2023

JE WAJUA KUANZA CHINI NI BORA KULIKO UNAVYO DHANI


 πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

πŸ’¦JE WAJUA...???πŸ’¦

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“


πŸ—£️Kama Umemaliza Chuo Upo Tu Mtaani Na Haujui Ufanye Nini Naomba Nikushauri Kitu Kama Hautojali Ila Ujumbe Huu Ni Kwa Watu Wote Ata Wewe Unakufaha Pia...


πŸ§‘‍πŸ«πŸ§‘‍🏫Kabla Ya Kuendelea Na Ushauri Wetu Naomba Chukua Mda Huu Kushare Ili Ujumbe Huu Uwafikie Watu Wengi Na Kama Haujajiunga Na Page Yetu Hakikisha Unabonyeza Hapa πŸ‘‰https://maarifa-media.blogspot.com

Kisha Jiunge Nasi Karibu Sana...


✍️✍️Najua Baada Ya Kumaliza Chuo Na Kujikuta Upo Tu Home Unatamani Kuanza Biashara Yoyote Ilimradi Uweze Kutimiza Malengo Yako Ni Jambo Zuri Hongera Kwa HiloπŸ‘πŸ‘πŸ‘...


✍️✍️Najua Kuna Vitu Vinakukwamisha Kuchukua Maamuzi Ya Kuanza Licha Ya Hofu Ya Kuthubutu Ila Hivi Vitu 3️⃣ Endapo Utaishi Navyo Vitakuchelewesha Sana Kuchukua Maamuzi Sahihi Sasa Tuchambue Hivyo Vitu Hili Uweze Kuepukana Navyo Mapema Kabla Ya Kuendelea Kukutafuna...πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


1️⃣Hauko Tayari Kuanza Chini...

✍️Najua Ulikua Na Ndoto Kubwa Na Shule Ilikua Inakuandaa Kuwa Boss Sasa Baada Ya Kumaliza Bado Unajiona Ni Mtu Wa Hadhi Kubwa Hautaki Kufanya Shughuli Yoyote Huku Ukijifariji Kusubiri Ajira Na Mda Unazidi Kukutupa Mkono...


✍️Najua Wengine Mna Mtaji Wa Kuanza Biashara Ila Unaona Aibu Kuanza Chini Yaani Bado Unamawazo Kama Utaanza Biashara Bhasi Uanze Kwa Ukubwa My Friend Unajichelewesha...


✍️Amka Amka Amka Chukua Maamuzi Maisha Ni Yako Hizo Aibu Hazikusaidii Chochote Toka Kwenye Huo Usingizi Umri Unazidi Kwenda Sitaki Uje Kujilaumu Mbele Ya Safari Ndio Maana Nimeandika Hii Somo Kwaajili Yako Kama Unaona Mazingira Ya Hapo Ulipo Wengi Wanakujua Kwahiyo Hautakua Huru Hamia Ata Mkoa Mwingine Nenda Kapambane Na Sio Kuendelea Kutumia Gharama Kubwa Kuwaaminisha Watu Umefanikiwa Kumbe Bado Unajitafuta...


2️⃣Acha Kujifanya Mjuaji Kubali Kujifunza Ata Kwa Uliowazidi Elimu...

✍️Elimu Yako Isikufanye Uwe Kipofu Kwa Kudharau Wengine Hapo Elimu Yako Itakua Haina Manufaa Na Wewe Tambua Maisha Ya Mtaani Ni Tofauti Na Elimu Ya Darasani Ndio Maana Watu Wanasema Kuna Elimu Ya Kitaa...


✍️Tafuta Maarifa Ukiwa Mtaani Jifunze Kwa Watu Fanya Udadisi Kwa Kutumia Uwezo Ulionao Kisha Tafuta Namna Ya Kutatua Matatizo Ya Mtaani Kupitia Suluhisho Lako Utajikuta Unapata Pesa Kuliko Kuendelea Kujifungia Ndani Na Kuona Watu Wa Mtaani Sio Hadhi Yako...


✍️Zingatia Hili Elimu Yako Itakupa Uwezo Mkubwa Wa Kutambua Vitu Kwa Haraka Ila Thamini Watu Kwasababu Kupitia Watu Ndio Utapata Kitu...


3️⃣Acha Kuishi Kwa Mashindano...

✍️Tunajua Umemaliza Chuo Na Pia Jamii Inajua Ajira Ni Ngumu Kipindi Hiki Bhasi Acha Kuishi Maisha Fake Yaani Unapambana Kuonyesha Watu Kuwa Umefanikiwa Kumbe Upo Kwenye Kujitafuta...


✍️Tafuta Connection Kwa Watu Waliokuzunguka Ishi Na Watu Vizuri Weka Uhalisia Wa Maisha Yako Itakupa Uwepesi Wa Kupata Michongo Ya Kufanya...


✍️Kama Umemaliza Chuo Na Unataka Kushindana Na Watu Ili Uonekane Sio Mnyonge Ndugu Yangu Maisha Ya Maigizo Yatakumalizia Pesa Tu Na Hutachelewa Kufikia Malengo Yako...


πŸ™‡πŸ™‡Tunakupenda Na Tunatamani Ufanikiwe Ndio Maana Tumechukua Mda Huu Kukushauri Chukua Unayoona Yatakufaa Ambayo Unaona Hayana Umuhimu Tuachie...πŸ™‡πŸ™‡


πŸ’ž Mwenyezi Mungu Akufungulie Riziki Kwenye Ugumu Akuwekee Wepesi Na Kwenye Giza Akuwekee Nuru Ya KuπŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“

πŸ’¦JE WAJUA...???πŸ’¦

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“


πŸ—£️Kama Umemaliza Chuo Upo Tu Mtaani Na Haujui Ufanye Nini Naomba Nikushauri Kitu Kama Hautojali Ila Ujumbe Huu Ni Kwa Watu Wote Ata Wewe Unakufaha Pia...


πŸ§‘‍πŸ«πŸ§‘‍🏫Kabla Ya Kuendelea Na Ushauri Wetu Naomba Chukua Mda Huu Kushare Ili Ujumbe Huu Uwafikie Watu Wengi Na Kama Haujajiunga Na Page Yetu Hakikisha Unabonyeza Hapa πŸ‘‰https://maarifa-media.blogspot.com

Kisha Jiunge Nasi Karibu Sana...


✍️✍️Najua Baada Ya Kumaliza Chuo Na Kujikuta Upo Tu Home Unatamani Kuanza Biashara Yoyote Ilimradi Uweze Kutimiza Malengo Yako Ni Jambo Zuri Hongera Kwa HiloπŸ‘πŸ‘πŸ‘...


✍️✍️Najua Kuna Vitu Vinakukwamisha Kuchukua Maamuzi Ya Kuanza Licha Ya Hofu Ya Kuthubutu Ila Hivi Vitu 3️⃣ Endapo Utaishi Navyo Vitakuchelewesha Sana Kuchukua Maamuzi Sahihi Sasa Tuchambue Hivyo Vitu Hili Uweze Kuepukana Navyo Mapema Kabla Ya Kuendelea Kukutafuna...πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


1️⃣Hauko Tayari Kuanza Chini...

✍️Najua Ulikua Na Ndoto Kubwa Na Shule Ilikua Inakuandaa Kuwa Boss Sasa Baada Ya Kumaliza Bado Unajiona Ni Mtu Wa Hadhi Kubwa Hautaki Kufanya Shughuli Yoyote Huku Ukijifariji Kusubiri Ajira Na Mda Unazidi Kukutupa Mkono...


✍️Najua Wengine Mna Mtaji Wa Kuanza Biashara Ila Unaona Aibu Kuanza Chini Yaani Bado Unamawazo Kama Utaanza Biashara Bhasi Uanze Kwa Ukubwa My Friend Unajichelewesha...


✍️Amka Amka Amka Chukua Maamuzi Maisha Ni Yako Hizo Aibu Hazikusaidii Chochote Toka Kwenye Huo Usingizi Umri Unazidi Kwenda Sitaki Uje Kujilaumu Mbele Ya Safari Ndio Maana Nimeandika Hii Somo Kwaajili Yako Kama Unaona Mazingira Ya Hapo Ulipo Wengi Wanakujua Kwahiyo Hautakua Huru Hamia Ata Mkoa Mwingine Nenda Kapambane Na Sio Kuendelea Kutumia Gharama Kubwa Kuwaaminisha Watu Umefanikiwa Kumbe Bado Unajitafuta...


2️⃣Acha Kujifanya Mjuaji Kubali Kujifunza Ata Kwa Uliowazidi Elimu...

✍️Elimu Yako Isikufanye Uwe Kipofu Kwa Kudharau Wengine Hapo Elimu Yako Itakua Haina Manufaa Na Wewe Tambua Maisha Ya Mtaani Ni Tofauti Na Elimu Ya Darasani Ndio Maana Watu Wanasema Kuna Elimu Ya Kitaa...


✍️Tafuta Maarifa Ukiwa Mtaani Jifunze Kwa Watu Fanya Udadisi Kwa Kutumia Uwezo Ulionao Kisha Tafuta Namna Ya Kutatua Matatizo Ya Mtaani Kupitia Suluhisho Lako Utajikuta Unapata Pesa Kuliko Kuendelea Kujifungia Ndani Na Kuona Watu Wa Mtaani Sio Hadhi Yako...


✍️Zingatia Hili Elimu Yako Itakupa Uwezo Mkubwa Wa Kutambua Vitu Kwa Haraka Ila Thamini Watu Kwasababu Kupitia Watu Ndio Utapata Kitu...


3️⃣Acha Kuishi Kwa Mashindano...

✍️Tunajua Umemaliza Chuo Na Pia Jamii Inajua Ajira Ni Ngumu Kipindi Hiki Bhasi Acha Kuishi Maisha Fake Yaani Unapambana Kuonyesha Watu Kuwa Umefanikiwa Kumbe Upo Kwenye Kujitafuta...


✍️Tafuta Connection Kwa Watu Waliokuzunguka Ishi Na Watu Vizuri Weka Uhalisia Wa Maisha Yako Itakupa Uwepesi Wa Kupata Michongo Ya Kufanya...


✍️Kama Umemaliza Chuo Na Unataka Kushindana Na Watu Ili Uonekane Sio Mnyonge Ndugu Yangu Maisha Ya Maigizo Yatakumalizia Pesa Tu Na Hutachelewa Kufikia Malengo Yako...


πŸ™‡πŸ™‡Tunakupenda Na Tunatamani Ufanikiwe Ndio Maana Tumechukua Mda Huu Kukushauri Chukua Unayoona Yatakufaa Ambayo Unaona Hayana Umuhimu Tuachie...πŸ™‡πŸ™‡


πŸ’ž Mwenyezi Mungu Akufungulie Riziki Kwenye Ugumu Akuwekee Wepesi Na Kwenye Giza Akuwekee Nuru Ya Kuona....πŸ’ž


πŸ™Kila La Kheri Ndugu πŸ™ona....πŸ’ž


πŸ™Kila La Kheri Ndugu πŸ™