Wednesday, June 14, 2023

TUMIA KITUNGUU MAJI KUJITIBU PID,UTI, KISUKARI, PRESHA NA MAGONJWA MENGINE MENGI KWA DAWA RAHISI INAYOPATIKANA MAZINGIRA YA NYUMBANI KWAKO

 FAHAMU NJINSI KITUNGUU MAJI KINAVYO WEZA KUTIBU UTI N. K

Utumiaji wa kitunguu unaimarisha mifupa ya nyonga

FAIDA ZA KITUNGUU KWA UFUPI
1.Tibu UTI
2.Balance sukari mwilini
3.Mzunguko mzuri wa damu mwilini
4.Kuwa na nywele zenye Afya 
Basi fanya hivi kila asubuhi kabla ya kula chochote 
Katakata kitunguu weka kwenye kikombe Kisha chemsha maji weka kwenye kikombe chenye vitunguu acha yapoe kwa dakika kumi kunywa. 




TIBU MAGONJWA TOFAUTITOFAUTI KWA JIVU LA MAGANDA YA DAFU
Majivu ya magada ya dafu ni dawa nzuri na kwa magonjwa yote ukiamka unahisi unaumwa/kuumwa suluhisho ni Majivu ya maganda ya dafu 

FANYA HIVI KUANDAA DAWA YA MAGANDA YA DAFU INAYOTIBU MAGONJWA KAMA 
1.PID
2.UTI
3.BACTERIA
N.K
Chukua maganda ya dafu choma Pata jivu lake laini weka ndani kwako kila asubuhi kabla ya kula chochote chukua maji ya vuguvugu kwenye kikombe weka kijiko kimoja cha majivu kunywa kila siku utaondokana na magonjwa hatari yote na Utakuwa mwenye afya wakati wote. 

DAWA MBADALA 9 ZINAZOTIBU U.T.I


U.T.I ni kifupi cha maneno ya kiingereza: ‘Urinary tract infections’, ni maambukizi ya bakteria katika njia ya mkojo. Ni moja ya ugonjwa unaowakumba sana wanawake kwa sehemu kubwa ingawa hata wanaume pia wanapatwa na ugonjwa huu. Zaidi ya wanawake milioni 8 wanauguwa ugonjwa huu kila mwaka nchini Marekani peke yake.
Kama ulishawahi kupatwa na U.T.I basi hutazisahau dalili zake ambazo mara nyingi huanza kwa hitaji la ghafla la kutaka kwenda kupata haja ndogo na unapofika bafuni mara baada ya kutoa kiasi kidogo cha mkojo utaanza kusikia maumivu kwenye kibofu cha mkojo na hata kwenye urethra. Katika dalili kubwa zaidi utaishia kujisikia homa, baridi kali, maumivu nyuma ya mgongo na hata damu kutoka pamoja na mkojo.
Habari njema ni kuwa kuna dawa mbadala za nyumbani unazoweza kuzitumia na ukajikinga na hata kujitibu na ugonjwa huu. Endelea kusoma.
Kinachosababisha U.T.I:
=>Kisukari
=>Maumivu ya mishipa
=>Ajari katika uti wa mgongo
=>Ushoga (kwa wanaume)
=>Usafi duni
=>Upungufu wa maji mwilini
=>Kushikilia mkojo muda mrefu
=>Kurithi
=>Kuongezeka ukubwa kwa kibofu cha mkojo au mawe kwenye figo.
Baadhi ya dalili za kawaida na zisizo za kawaida za U.T.I
=>Kusikia maumivu wakati wa haja ndogo
=>Kukojoa mara kwa mara
=>Kupatwa ghafla na hitaji la kutaka kukojoa
=>Maumivu kwenye kibofu cha mkojo
=>Mikojo kukutoka pasipo kutaka
=>Hali ya kusikia kuungua wakati wa kukojoa
=>Kukojoa damu
=>Harufu nzito au mbaya ya mkojo
=>Homa
=>Kusikia baridi
=>Kutokujisikia vizuri
=>Kujisikia uchovu
Dawa mbadala 7 zinazotibu U.T.I
1. Baking Soda
U.T.I ambayo imedumu zaidi ya siku mbili inahitaji kuripotiwa kwa daktari. U.T.I isiyotibiwa mapema inaweza kuepelekea matatizo zaidi kwenye figo na kuleta matatizo mengine makubwa zaidi. Ili kuzuia U.T.I isijiimarishe zaidi jaribu kuongeza kijiko kimoja cha chai cha baking soda kwenye glasi ya maji na unywe na hivyo kusaidia kupunguza makali au kuendela kwa maambukizi ya U.T.I. Baking soda itapunguza hali ya uasidi katika mkojo wako na kupelekea nafuu haraka. Baking soda ni ile kinamama wanatumia wakati wanapika maandazi. Siri iliyopo hapa ni huko kupunguza asidi kwenye mkojo na mwilini kwa ujumla na hivyo kuongeza hali ya ualikalini mwilini.
2. Zabibu nyeusi (Blueberries) na zabibu nyekundu (cranberries):
Zabibu nyeusi (Blueberries) na zabibu nyekundu (cranberries) ambazo zote zinatoka katika mti wa aina moja na zina sifa sawa ya kudhibiti bakteria. Katika utafiti mmoja, juisi ya zabibu nyeusi iligundulika kuwa na uwezo wa kudhibiti U.T.I. Pendelea kutumia juisi ya matunda haya glasi 2 mpaka 4 kwa siku mara kwa mara ili kujikinga na hata kujitibu na ugonjwa huu.
3. Nanasi
Kula Nanasi mara kwa mara ni mbinu nzuri kabisa katika kudhibiti maambukizi katika njia ya mkojo. Kwenye nanasi kuna kimeng’enya mhimu sana kijulikanacho kwa kitaalamu kama ‘Bromelain’. Katika utafiti mmoja, watu wenye U.T.I waliopewa hii bromelain sambamba na antibiotic zao walifanikiwa kuondokewa na maambukizi ya U.T.I. Kula vipande vitatu mpaka vitano vya nanasi kila siku kutakuweka mbali na ugonjwa huu.
4. Maji ya kunywa
Kama unasumbuliwa na U.T.I au inakutokea unapatwa na ugonjwa huu mara kwa mara, basi hakikisha unakunywa maji ya kutosha kila siku walau glasi 8 mpaka 10 kwa siku, maji yenye joto la kawaida yaani yale ambayo hayajawekwa kwenye friji.
Mara nyingi mtu mwenye U.T.I huwa ana upungufu wa maji mwilini na ikiwa utauchunguza mkojo wake utaona ni wa rangi ya njano. Kunywa maji ya kutosha kila siku na kama matokeo yake bakteria wote wanaokupelekea upatwe na U.T.I watalazimishwa kutoka nje ya mwili kupitia mkojo utakaoupata kutokana na kukojoa mara kwa mara kama matokeo ya kunywa maji mengi na utaona baada ya siku 4 mpaka 7 hata rangi ya mkojo inabadilika na kuwa mweupe kabisa. Kunywa maji kwa mtindo huu wa jumla, asubuhi kunywa glasi 3, mchana glasi 4 na jioni glasi 3. Glasi 1 = robo lita (ml 250).
5. Vitamini C
Vitamini C husaidia kuzuia uzarishwaji wa bakteria wabaya mwilini
Baadhi ya madaktari wanashauri mtu atumie mpaka mg 5,000 za vitamin C kwa siku kwa mgonjwa anayesumbuliwa na maambukizi ya mara kwa mara kwenye njia ya mkojo. Vitamini C hukifanya kibofu cha mkojo kubaki na afya kutokana na asidi yake safi kwenye mkojo kitendo ambacho ni mhimu katika kuwazuia bakteria wabaya kufanya makazi kwenye kibofu cha mkojo. Ukiacha machungwa, Vitamini C inapatikana pia kwa wingi katika juisi ya ubuyu na kwenye mlonge. Hakikisha unapata kiasi cha kutosha cha Vitamini C kila siku ili kujikinga na hata kujitibu na U.T.I.
6. Kitunguu swaumu:
Kitunguu swaumu ni mojawapo ya tiba mbadala ya nguvu katika kutibu maambukizi kwenye njia ya mkojo. Ni dawa nzuri dhidi ya bacteria na virusi na hivyo moja kwa moja kuwa mhimu katika kutibu U.T.I ya jumla na hata ile ya kibofu cha mkojo. Kwakuwa moja ya kazi ya kitunguu swaumu ni kusafisha mkojo basi ni dhahiri inafaa sana katika kutibu U.T.I. Namna ya kukitumia; Chukuwa kitunguu swaumu kimoja na ukigawe mara 2, menya nusu yake (punje 10 au 15), menya punje moja baada ya nyingine na kisha kikatekate (chop) vipande vidogo vidogo na kisu kisha meza kama unavyomeza dawa na maji vikombe 2 kila unapoenda kulala na mapema uamkapo asubuhi kwa siku 7.
7. Limau/ndimu:
Weka vijiko vikubwa vitano vya juisi ya limau au ndimu na uongeze maji ili kupata robo lita (ml 250) na unywe kutwa mara tatu. Pia unaweza kuongeza asali vijiko vikubwa vitatu ndani yake. Mchanganyiko huu wa limau na maji ya uvuguvugu utakuondolea maumivu yatokanayo na U.T.I na hata kuzuia kutokwa na damu kama matokeo ya maambukizi ya U.T.I hasa kwenye kibofu cha mkojo.
8. Unga wa majani ya Mlonge
Tumia kijiko kimoja cha chakula ndani ya uji, au ndani ya juisi ya matunda kikombe kimoja (robo lita) juisi uliyotengeneza mwenyewe, au katika maji ya uvuguvugu kijiko kimoja kikombe kimoja cha maji (robo lita) kutwa mara tatu au unaweza pia kuongeza kijiko kimoja cha unga wa mlonge kwenye mboga ya aina yoyote au katika wali. Tumia kwa mwezi mmoja mpaka mitatu au tumia tu muda wote kama kinga ya mwili wako dhidi ya magonjwa.
9. Mshubiri (Aloe-Vera):
Chukua jeli ya mshubiri (aloe-vera) vijiko vikubwa vinne, changanya na maji ya kawaida ili kupata kikombe kimoja (ml 250) au robo lita, changanya vizuri mchanganyiko huu na unywe kutwa mara 2 kwa siku 3 hadi wiki 2 au hadi utakapopona. Unaweza kuongeza asali ndani yake vijiko vikubwa vitatu ili kupunguza ukali wa dawa hii.
Katika dawa hizi zote zilizojadiliwa hapa, napendekeza utumie dawa hizi kwa pamoja ili kupata matokeo mazuri na kwa haraka, nazo ni; maji ya kunywa, kitunguu swaumu, limau, unga wa majani ya mlonge na mshubiri.
VITU VYA KUFANYA ILI KUJIKINGA USIPATWE NA U.T.I
1. Ongeza unywaji maji kila siku au juisi za matunda, juisi uliyotengeneza mwenyewe nyumbani.
2. Epuka vinywaji baridi, pombe, chai ya rangi na kahawa.
3. Penda kuwa msafi.
4. Mara zote jitawaze kutoka mbele kurudi nyuma na uepuke kuchangia na wengine vifaa vya bafuni.
5. Pata haja ndogo mara baada ya tendo la ndoa.
6. Usiushikilie mkojo muda mrefu, mara usikiapo kutaka kupata haja ndogo mara moja nenda.
7. Vaa nguo za ndani zilizotengenezwa kutokana na pamba.
8. Epuka kaffeina.
9. Epuka tendo la ndoa kinyume na maumbile.
Dawa mbadala hizi 9 zinaweza kukusaidia kujikinga usipatwe na U.T.I au kujitibu ingawa bado inashauriwa kwenda kumuona daktari iwapo maumivu au dalili zinadumu kwa muda mrefu.
       
Lishe: Zifahamu faida 5 kuu za vitunguu 


Kitunguu ni nini? Katika mimea, vitunguu ni sehemu ya familia ya Liliaceae , pamoja vitunguu saumu, na vitunguu maji.    

 Ingawa thamani yake iko chini ya vitunguu saumu, vitunguu vina viungo vyenye ufanisi mkubwa katika kuboredha afya ya mwili. 

Vitunguu huwa sehemu ya vyakula mbali mbali tunavyokula kila siku, vikiwemo vile vinavyoliwa vikiwa vibichi kama vile kachumbari, na saladi, vilivyookwa au kuchemshwa. 

 Kipande cha gramu 80 cha kitunguu (kibichi) huwa na:


Gramu 0.8 za protini
Gramu 6.4 za wanga
Sukari gramu 5.0  
Gramu 1.8 za nyuzinyuzi(fiber)
Miligramu 2.0 za vitamin C.
Kitunguu chenye ukubwa wa kati , chenye gramu 80, ni sawa na kiwango cha milo mitano ya vyakula vyenye kutia nguvu unavyofaa kula kwa siku  

1. Onion ina mchanganyiko wa kemikali zinazozuiakuharibika kwa seli nzuri za mwili   
Vitunguu vimejaa kemikali za mmea, ikiwa ni pamoja na flavonoids, ambazo zote zina uwezo wa kuzuia kuharibika kwa seli na kuzuia majeraha mwilini (anti-inflammatory).

 Vinapoliwa mara kwa mara na katika kiwango kinachofaa, mchanganyiko huu wa kemikali za mme unaweza kukulinda dhidi ya magonjwa ya kudumu kama ile saratani na kisukari.

Ukweli ni kwamba vitunguu huwa vina aina tofauti 25 za virutubisho vya flavonoids na ni miongoni mwa vyakula vyetu vyenye virutubisho vingi.  

 Vitunguu pia vina madini ya salfa. Vimeonyesha kuwa kinga ya aina fulani za saratani 

2. Vitunguu vinaweza kuchangia afya bora
Mojawapo ya viungo vya flavonoids katika vitunguu, quercetin, kina sifa ya kulinda seli za mwili na kuzuia majeraha mwilini. 

 Tafiti zinasema kwamba ulaji wa vitunguu unaweza kupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo kwa kushusha shinikizo la damu, kudhibiti viwango vya mafuta na kupunguza majeraha mwilini. 

g
Maelezo ya pich,
Vitunguu vimejaa kemikali za mimea, ikiwa ni pamoja na flavonoids, ambazo zinazuia uharibifu wa seli na kuzuia majeraha mwini 

3. Vitunguu vinaweza kusaidia afya ya utumbo   
Kujumuishwa kwa vitunguu katika mlo kuhahusishwa na iuzito wa mifupa. Hii huenda inatokana na kiungo kinacholinda seli za mwili dhidi ya sumu zinazoua seli, jambo ambalo hupunguza uharibifu wa seli na hivyo kupunguza kukonda kwa mifupa.     

 Utafiti uliochunguza athari za vitunguu miongoni mwa wanawake wanaokaribia na waliofikia ukomo wa hedhi unaonyesha kuwa wanawake wanaokula mara kwa mara vitunguu walipunguza hatari ya kuvunjika mifupa ya nyonga. 

 Utafiti mwingine wa wanawake wenye umri wa kati unaonyesha kuwa unywaji wa juice ya vitunguu unapunguza kukonda kwa mifupa na badala yake huongeza uzito wa mifupa. 



Kujumuishwa kwa vitunguu katika mlo kunahusishwa na kuongezeka kwa uzito wa mifupa  

Vitunguu vina kiwango cha hali ya juu cha nyuzinyuzi au fiber, hususan nyuzinyiz ambazo haziwezi kusagwa na tumbo la chakula, ambazo zinahitajika katika kuimarisha afya ya utumbo. 

Ingawa hatuwezi kusaga vyakula vyenye nyuzinyuzi za bakteria , bacteria wanaoishi katika utumbo wetu wanaweza kufanya hivyo na kuzitumia kama petroli ya kuongeza idadi yao na kuzalisha kile kinachoitwa fatty acids (SCFAs).

Tafiti zinaonyesha kuwa SCFA hizi ni muhimu katika kuimarisha afya ya utumbo na hivyo kusaidia mfumo wetu wa usagaji wa chakula na ule wa kinga kufanya kazi vyema.  

5. Vitunguu, hupambana na bakteria 
Tafiti zinaonyesha kuwa vilipotumiwa katika dawa za kikohozi, na mafua , viunguu vilikuwa na viungo vya kupambana na bakteria ...Zaidi ya hayo, ni vitunguu vilivyohifadhiwa kwa muda mrefu vilivyoonekana kuwa na ufanisi zaidi. 

Je vitunguu ni salama kwa kila mtu?
Mzio wa vitunguu ni nadra, lakini baadhi ya watu wanaweza kuupata. Matokeo yake, watu wenye mzio wanaweza kupata matatizo ya usagaji wa chakula, ikiwa ni pamoja na kiunguliwa na gesi tumboni.

 Vitunguu vina FODMAP, aina ya wanga na nyuzinyuzi ambazo mifumo ya usagaji chakula wa baadhi ya watu hauwezi kuzimudu.


Jinsi ya kuchagua na kutunza vitunguu
Vitunguu vinapaswa kuwa visafi na vyenye Ngozi ngumu na laini. Epuka vitunguu vinavyoonyesha dalili ya kuoza.

  

Vitunguu vinapaswa kuhifadhiwa katika chumba chenye joto la kawaida, mbali na mwangaza na katika eneo lenye hewa ya kutosha . Vitunguu vya rangi ya manjano, na nyeundu, vinaweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu kuliko vitunguu maji.

 Vitunguu vyoto vinapaswa kuhifadhiwa tofauti na viazi, kwani vinaweza kufyonza unyevunyevu wa viazi na gesi ya ethylene, inayosababisha viazi kuoza haraka. Usitunze vitunguu katika kifaa au bakuli la chuma, kwani inaweza kuondoa rangi yake.

 Kuhifadhi kwenye friji vitunguu vilivyokatwa kunaweza kuondoa sehemu kubwa ya ladha yake. 

Kiungo cha sulfate, ambacho hutengenezwa wakati seli za kitunguu huzinapokatwa na kupaa ndizo zinazosababisha mtu kutoa machozi.     

 Kupunguzwa kwa uzalishaji wa kiungo hiki, unaweza kupoza kitunguu kwa karibu dakika thelathini kabla ya kukikata.

T + F + A = A Mawazo husababisha hisia. hisia husababisha hatua. na hatua husababisha matokeo

0 comments: