Mti huu wengi huutumia kufukuzia mbu pamoja na
hayo faida zingine ni hizi zifuatazo;-
(1) Hutibu tatizo sugu la nguvu za kiume jinsi ya
kujitibu utachukua kuku jogoo mwenye afya nzuri
mchemshe na majani ya kivumbasi usawa wa fungu
moja la mchicha chemsha katika maji lita 5 tu
utakunywa supu hii siku 4 tu hakika tatizo lako la
nguvu za kiume litatoweka dawa hii ni mujarrabu na
inamajibu yasiyo na madhara kwa mtumiaji.
(2) Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia
zote unalichemsha hili pamoja na viazi ulaya au vya
chipsi ambavyo havijakaa dukani muda mrefu.
(3) Hufukuza maadui unapoichanganya na udi baada
ya kuikausha na kuisaga unaichoma kama ubani
katika ofisi yako au nyumba yako
(4) Husogeza karibu maruhani au majini wazuri
katika kichwa lugha hii ni ngumu ila wanaojua
wanajua
(5) Kivumbasi pia hufukuza mashetani unakausha
unachanganya na udinadi choma kwa kujifukiza x2
kitwa wiki mbili
na manyoya ya mkiani ya njiwa mweupe mgonjwa
aoshewe na achanganyiwr na mafuta ajipakae
(8) Huondoa migogoro nyumbani unaufikisha katika
maji ya mvua au kisima unamwaga ndani na nje ya
nyumba yako utulivu utapatikana.
(9) huleta bahati karibu hii ni ikiwa hupati kazi
Wahindi wanautumia sana
Dawa ya uzazi kwa wanawake
U.T.I,Maralia, taifodi,bawasiri,kisukari,CD 4,n.k

0 comments: