Sunday, June 18, 2023

FAIDA YA MMEA WA KIVUMBASI

 

Mti huu wengi huutumia kufukuzia mbu pamoja na

hayo faida zingine ni hizi zifuatazo;-

(1) Hutibu tatizo sugu la nguvu za kiume jinsi ya

kujitibu utachukua kuku jogoo mwenye afya nzuri

mchemshe na majani ya kivumbasi usawa wa fungu

moja la mchicha chemsha katika maji lita 5 tu

utakunywa supu hii siku 4 tu hakika tatizo lako la

nguvu za kiume litatoweka dawa hii ni mujarrabu na

inamajibu yasiyo na madhara kwa mtumiaji.

(2) Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia

zote unalichemsha hili pamoja na viazi ulaya au vya

chipsi ambavyo havijakaa dukani muda mrefu.

(3) Hufukuza maadui unapoichanganya na udi baada

ya kuikausha na kuisaga unaichoma kama ubani

katika ofisi yako au nyumba yako

(4) Husogeza karibu maruhani au majini wazuri

katika kichwa lugha hii ni ngumu ila wanaojua

wanajua

(5) Kivumbasi pia hufukuza mashetani unakausha

unachanganya na udinadi choma kwa kujifukiza x2

kitwa wiki mbili


na manyoya ya mkiani ya njiwa mweupe mgonjwa

aoshewe na achanganyiwr na mafuta ajipakae

(8) Huondoa migogoro nyumbani unaufikisha katika

maji ya mvua au kisima unamwaga ndani na nje ya

nyumba yako utulivu utapatikana.

(9) huleta bahati karibu hii ni ikiwa hupati kazi


Wahindi wanautumia sana 


Dawa ya uzazi kwa wanawake 


U.T.I,Maralia, taifodi,bawasiri,kisukari,CD 4,n.k

T + F + A = A Mawazo husababisha hisia. hisia husababisha hatua. na hatua husababisha matokeo

0 comments: