Monday, May 29, 2023

FAIDA ZA MAJANI YA MPERA KATIKA AFYA NA UTUNZAJI WA NYWELE NA KUONDOA CHUNUSI USONI

Hizi hapa faida za majani ya mpera



Ukitaka nywele zako zikuwe kama kichaa, basi fanya hivi chuma majani ya mpera yachemshe uwe unaoshea nywele zako kila siku nywele zako zitarefuka kwa asilimia 100%.


 ( ONYO : Maji ya mpera yanakuzisha nywele hadi kupitiliza tumia kistarabu)


- Majani ya mpera ni dawa kwa wale wanaotaka kutoa manyama uzembe yanu uzito, fanya hivi chemsha majani yake kunywa glass 1 (1*3) 200mls ikamulie na limao/ndimu.


 (NONYO majani haya huounguza uzito kwa kasi, hivyo tumia kulizingatia diet yako)


Majani ya mpera ukiyasaga na kuyalainisha ukawa unapaka kwenye ngozi

- Huoandoa chunusi sugu + Colgate

- Huondoa miwasho ya ngozi

- Huodoa visundosundo 

- Huondoa mabaka meusi kwa ngozi


Ukikausha majani ya mpera ukawa unatumia kwa chai yako daily

- Utakuwa unapunguza LDL

- Kuondosha kabisa cherestol mbaya mwilini hivyo kukufanya uwe na cherestol nzuri HDL

- Hupunguza shida ya ugumba kwa wanaume.

- Huepusha shida ya tezi dume

- Huongeza nguvu za kiume mara ×28 

- Husaidia kupanua njia ya mapafu uwezi nzuri wa kupumua

- Kutibu mamumivu ya kifua na mapafu.

- Huzuia maumivu ya tumbo la period (hedhi) au tumbo la kuharisha

- Huzuia sumu kushindwa kufanya kazi kama ipo tumboni

- Husaidia wanaume wengi kupata watoto hasa wenye manii ambayo hayana nguvu ya kuzalisha (kutungisha mimba)


Pia majani yake mabichi huweza kutibu maumivu ya sikio, kukatwa na kisu(panga) fizi kuuma.


Pia majani yake huongeza kinga ya mwili ndani ya masaa 7 pekee. 



MUHIMU WA MAJANI YA MPERA (GUAVA LEAVES) KWENYE NYWELE 

Majani ya mpera ni mazuri sana kwa ukuaji wa nywele hasa asilia (Natural hair) kwa sababu;

-Yana Vitamin B (Biotin ambayo ni nzuri sana katika ukuaji wa nywele) ya kutosha ambayo ipo pia kwenye brands kubwa za products za nywele; hapa wanainfuse biotin ili kuongeza effciency na effectiveness ya product. Biotin pia inapatikana kama supplement (zinamezwa) hii yote ni kufanya nywele kukua vizuri kwa kupata nutrients za kutosha.

-Yana vitamin C; hii inasaidia sana kwa sababu ni anti-oxidant na pia ni anti inflammatory (kuzuia kuwasha, kuvimba au maumivu in case umeungua na dawa na vinginevyo)

Majani ya mpera yanaweza kutumika kama steaming au leave in conditioner. Leo tutaongelea zaidi kama Leave in Conditioner (kuzipa nywele unyevu tu na ukitumia hauoshi tena).


FAIDA ZA MAJANI YA MPERA KAMA LEAVE IN CONDITIONER

-Yanasaidia kuilinda ngozi dhidi ya maradhi kama mba, fungus na infections nyingine.

-yanasaidia kurudisha rangi nzuri ya nywele (nyeusi) kama nywele ni nyekundu au zina mvi.

-Inasaidia nywele kukua vizuri na kuwa imara

-Inafanya nywele kuwa na afya.

-yanasaidia kuzuia nywele kukatika

-Pia ni gharama nafuu, ya asili kabisa (hayana chemicals) na ni rahisi sana kuyapata ukilinganisha na leave in conditioners za kununua.


JINSI YA KUANDAA

-Chukua majani malaini kama 10 hadi 20

-Weka kwenye sufuria na ongeza maji kidogo (lita moja)

-Funika na acha yachemke vizuri hadi yabadilike rangi kuwa kama chai ya rangi

-Baada ya dakika 5 ipua na uache yapoe.

-Baada ya kupoa weka kwenye spray bottle yako; utakua unazipa unyevu nywele kwa kutumia maji hayo halafu juu unapaka mafuta.

Pia unaweza kuchanganya na mafuta (Black castor oil, jojoba oil, coconut oil au olive oil; any of your choice) ili yaingie vizuri kwenye nywele.





MAJANI YA MPERA NA FAIDA ZAKE MWILINI.

1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua na kikohozi.

2. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio (allergy).

3. Pia majani haya ya mpera yakichemshwa kama chai yanaondoa cholesterol iliyozidi mwilini.

4. Chai ya majani ya mpera inapunguza kiwango cha tatizo la sukari mwilini.

5. Chai ya mpera ni dawa nzuri kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume.

6. Pia inatumika kama scrub ya uso. 

Chukua majani ya mpera saga kisha tia maji kiasi na inasaidia kuondoa uchafu usoni.


7. Pia majani ya mpera yakichemshwa ni dawa ya kuponyesha tumbo la kuhara.

8. Kama umejikata kidogo unaweza kutumia majani ya mpera yalioshwa na kusagwa vizuri kwa kupunguza maumivu na kukulinda na maambukizi ya bakteria.

9. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu eneo la mwili lililong'atwa na mdudu na kupunguza maumivu.

10. Chai ya majani ya mpera inaaminika kuwa ina uwezo wa kutibu tezi dume.

11. Kutokana na kuwa na vitamini C kwa wingi majani ya mpera yana uwezo mkubwa wa kutibu chunusi.

12. Chai ya majani ya mpera inasaidia kupunguza uzito mwilini na kuzuia uharibifu sukari ndani ya mwilini.

13. Majani ya mpera yanajaza nywele na kurefusha nywele kwa watu wenye tatizo la kukatika kwa nywele, unasaga na kuchemsha kisha acha yapoe ndio upake kichwani kutoka chini ya ngozi ya kichwa hadi kwenye ncha ya nywele zako.

14. Ukiwa na tatizo la vidonda kwenye ufizi, maumivu ya jino na ufizi tafuna majani ya mpera na utaona maajabu ya majani haya.

15. Chukua majani ya mpera saga vizuri mpaka yawe laini kabisa ongeza na maji kidogo kisha tumia kupaka usoni kama scrub inatibu ngozi inayoanza kuzeeka mapema.

16. Chai ya mpera inasaidia kwa kutibu mvurugiko wa tumbo.

Pamoja na majani hayo kuwa msaada wa kutibu maradhi mbalimbali , halikadhalika juisi ya mapera nayo husaidia sana kutibu mgolo au bawasiri, figo na hata kuondoa mafuta katika moyo.

Kimsingi mti wa mpera karibu kila sehemu yake ni tiba kwani hata mizizi yake ni dawa 

NB: Maji hayo yanaweza kaa hadi wiki ukiweka kwenye fridge, otherwise ni siku mbili tu (maximum).

Pia ili kuona matokeo mazuri ya product yoyote ya nywele au ngozi ni lazima utumie kwa muda mrefu na kwa mpangilio unaotakiwa (consistency).






Sunday, May 28, 2023

FAIDA ZA MBEGU ZA MABOGA



FAIDA YA MBEGU ZA MABOGA

Ulaji wa maboga ni muhimu lakini ni Watanzania wachache wanaojua faida ya boga na mbegu zake. Mbegu za maboga zimesheheni protini na madini kadhaa kama vile chuma, kopa, maginizia, manganizi na zinki, mbegu za maboga zinakuwa mbegu bora na muhimu kutafuna kila wakati baada ya kuzikaanga au zikiwa mbichi au kama zimepikwa na boga lenyewe kwani imethibitika pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida lukuki kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10.


 KIBOFU CHA MKOJO

Mbegu za maboga zimekuwa zikitumika kuimarisha afya ya wanaume kutokana na kuwa na kiasi kingi sana cha madini aina ya Zinc ambayo ni muhimu sana kwa afya ya kibofu cha mkojo Urinery Bladder. Mbegu za maboga pamoja na mafuta yake, yote kwa pamoja hutoa kinga kwenye kibofu kupatwa na matatizo ya kiafya, yakiwemo yale ya saratani ya kibofu.

Pia hutibu tezi dume ikichanganywa na baadhi ya dawa pamoja na nguvu zakiume. 


 KINGA YA MWILI

Mbegu za maboga zenye kiasi kingi cha madini ya Zinc yana faida nyingi mwilini, ikiwemo kuimarisha kinga ya mwili, kuboresha ukuaji na uundaji wa chembechembe hai za mwili, kuboresha usingizi, kuboresha ladha mdomoni na harufu, huboresha afya ya macho na ngozi, hurekebisha kwenye damu sukari na huboresha nguvu za kiume pia huongeza uwezo wa kufikiri. Upungufu wa madini ya Zinc mwilini una uhusiano mkubwa sana na matatizo ya kuzaa watoto njiti, mwanamke au mwanaume kuota chunusi nyingi mwilini, watoto kuwa na uwezo mdogo wa kuelewa wanachofundishwa darasani kimasomo na matatizo mengine mengi ya kimwili na kiakili.


Mbegu za Maboga


 MAFUTA YA OMEGA -3

Omega-3 ni moja kati ya mafuta muhimu sana mwilini. Jamii ya karanga pamoja na mbegu za maboga ni miongoni mwa mbegu zenye kiasi kingi cha mafuta aina hii. Hivyo ulaji wa mbegu za maboga utakuwezesha kupata kirutubisho hiki muhimu katika mwili wako na kukupa faida za mafuta haya ambazo ni nyingi.


 UGONJWA WA MOYO

Mbegu za maboga zina kiasi kingi cha madini aina ya maginizia Magnesium ambayo huboresha utendaji kazi wa viungo vya mwili. Huimarisha usukumaji wa damu kwenye moyo, huimarisha ukuaji wa mifupa na meno, huifanya mishipa ya damu kupitisha damu kwa urahisi na hufanya upatikanaji wa haja kubwa kuwa laini.


 KINGA DHIDI YA SARATANI

Imethibitika kwamba watu ambao hula mlo wenye kiasi kingi cha mbegu za maboga wamegundulika kuwa na hatari ndogo sana ya kupatwa na saratani za tumbo, matiti, mapafu na kibofu, hivyo unapokula mbegu hizi husaidia mambo hayo na mengine mengi.


 UGONJWA WA KISUKARI

Utafiti uliofanywa kwa kuwalisha wanyama mbegu za maboga, umeonesha kuwa ulaji wa mbegu za maboga, husaidia kurekebisha kiwango cha Insulin mwilini na hivyo kumuepusha mtu kupatwa na ugonjwa hatari wa kisukari.


 MATATIZO YA UKOMO WA HEDHI

Mara nyingi akina mama watu wazima ambao wamefikia ukomo wa hedhi, hupatwa na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na hali hiyo. Hata hivyo, wataalamu wamegundua kwamba ulaji wa mbegu umeonesha kuwa mbegu za maboga zina uwezo wa kurekebisha hali hiyo na kuondoa kabisa matatizo ya kiafya yatokanayo na ukomo wa hedhi.


 AFYA YA MOYO NA INI

Mbegu za maboga, ambazo zina kiasi kingi cha mafuta mazuri, kamba lishe Fibre na virutubisho vinavyoimarisha

kinga ya mwili Antioxidants, zimeonekana kuwa bora pia kwa afya ya moyo na ini, huweza kumpatia mlaji kinga dhidi ya matatizo ya kiafya katika moyo na ini.


 DAWA YA USINGIZI

Mbegu za maboga zimegundulika pia kuwa na kirutubisho kinachozalisha homoni� za usingizi. Ulaji wa mbegu za maboga saa chache kabla ya kupanda kitandani, hasa ukila pamoja na tunda lolote, kunasaidia kupata usingizi mzuri mwororo.


Mbegu za Maboga


 DAWA YA UVIMBE

Wataalamu wamethibitisha kwamba mbegu za maboga zina mafuta yenye uwezo wa kutoa kinga dhidi ya magonjwa ya uvimbe Inflamatory Diseases sawa na dawa aina ya Indomethacin lakini mbegu hizi hazina madhara kama ilivyo kwa hiyo dawa, ndiyo maana tunahimiza kutumia mbegu za maboga ambazo huwa ni dawa asili.


JINSI YA KULA MBEGU ZA MABOGA

Ili kupata faida zake zote, zikiwemo zile za mafuta yake, inashauriwa kula mbegu hizo zikiwa kavu, bila kuzikaanga japokuwa zilizokaangwa bila kuunguzwa nazo siyo mbaya. USHAURI Hakikisha pia unapata mbegu zilizohifadhiwa vizuri ambazo hazijaoza wala kuwa na fangasi. Iwapo utapenda kuzikaanga, basi hakikisha unazikaanga kwa muda usiozidi dakika 15, unaweza pia kuongeza chumvi kidogo kupata ladha, lakini za kukaanga zitakuwa hazina mafuta mengi kama zile kavu.

Kwa upande wa unga wake kula kijiko kimoja cha chakula kwa maji moto kikombe kimoja kutwa mara mbili. 

Kwa upande wa mafuta kula kijiko kidogo, kile cha chai kwa maziwa au maji moto kutwa mara mbili. 


 *NB* : KUTUMIA UNGA WAKE NI BORA , ILA MAFUTA YAKE NDIO BORA MARA NYINGI ZAIDI YA UNGA 


BIASHARA NDIO MAISHA HALISI , KOSA 1 KUBWA LINALO WA GHARIMU WA FANYA BIASHARA WADOGO(wenda hata wewe lina kugharim twende pamoja kwenye makala hii👇)

 BIASHARA NDIO MAISHA HALISI



Kwa kuangalia hili haraka haraka, duniani hapa ukitaka kutimiza ndoto zako basi huna budi kufanya biashara.


Biashara ni kitendo Cha kununua bidhaa na kuuza bidhaa Kwa lengo la kupata faida au pesa ya zaidi.


Biashara ni kitendo Cha kuuza thamani uliyonayo ili kupata fedha yaani value for money.


Kwa tafsiri hizo chache japo zipo tafsiri nyingi kuhusu biashara lakini Leo ni-generalize kwamba biashara ni👇


 kitendo Cha kununua na kuuza bidhaa, ni kitendo Cha kuzalisha na kuuza bidhaa, ni kitendo Cha kutoa huduma Kwa lengo la kupata faida au fedha ya ziada , ni kitendo Cha kuuza kipaji ulichonacho, maarifa uliyonayo, ujuzi uliyonao, elimu uliyonayo au chochote kitu unachokijua katika maisha au unachokifanya ili kupata fedha au Kwa lengo la kupata fedha.



Sasa Kwa nature ya ulimwengu huu ukitazama Kila kitu ni biashara mfano kazi za serikali ni biashara ya serikali, kazi za kilimo ni biashara ya kilimo, kazi za elimu ( mashule, vyuo n.k) ni biashara za elimu, kazi za hospital, udaktari ni biashara za kutoa huduma za kitabibu, zipo biashara nyingi sana ambapo nikianza kuziorodhesha hapa sintomaliza Leo Wala kesho.



Kwa mantik hiyo utaona kwamba maisha ni biashara, ili uweze kuishi na kufanikisha ndoto zako huna budi kufanya biashara ya kile unachokijua, ya kile unachokifanya namaanisha kibadilishe kiwe biashara , hayo ndio maisha halisi ya kutimiza ndoto zako otherwise utakuwa unatimiza ndoto za wengine waliyoamua kubadili kile wanachokifanya , wanachokijua kuwa biashara hivyo watakupa ajira Kisha watakulipa mshahara yaani posho.


naposema posho namaanisha kwamba mtu anatumia muda wako, nguvu zako, elimu Yako, ujuzi wako na maarifa Yako kufanya biashara yake ( kazi katika kampuni au serikali au wherever ) na Kwa kupitia kutumia nguvu zako hizo, akili zako, uwezo wako unamzalishia faida ya million kumi Kwa mfano Kwa week mbili au million 20 Kwa mwezi Kisha yeye anakulipa laki 7 au 8 kama mshahara ( hiyo inaitwa posho maana ulichokizalisha hakiwiani na unachopewa hata robo ).


Hivyo bas ukishindwa kuwekeza mawazo Yako, akili Yako, uwezo wako katika kujiajiri kwenye biashara au ukishindwa kubadili kile unachokijua katika maisha au kile unachokifanya katika maisha kiwe biashara na Kisha kufukuzia ndoto zako kupitia mabadiliko hayo basi Kuna ambao watajiajiri katika biashara, watabadili kile wanachokijua katika maisha, watabadili Ile elimu Yao au kile wanachokifanya kuwa biashara na badae watakuajiri wewe na kutimiza ndoto zao.



Biashara ni simple tu Kwa kuwa siku zote ukitaka kufanya biashara, angalia eneo lako ulilopo, unaloishi ni kitu Gani kinawasumbua, ni changamoto Gani inawakumba, ni matatizo Gani yanawasumbua , ni bidhaa Gani haipatikani eneo Hilo na watu wa hapo wanaihitaji Kwa wingi na wanaipata Kwa shida.. 


ukishajua na kugundua hivyo tafuta majibu ya hayo matatizo, ya hizo changamoto au hiyo bidhaa inayopatikana Kwa shida na inahitajika sana then hayo majibu wauzie na hiyo ndio biashara na utatoboa , utafanikiwa moja Kwa moja pasipo kipingamizi.


Biashara ndio chimbuko la utajiri, hakuna namna unayoweza kuwa tajiri kama hufanyi biashara Tena Kwa kufuata kanuni zote za biashara, kujua elimu ya fedha na uwekezaji pamoja na budget.


Nionyeshe tajiri asiyekuwa mfanyabiashara jibu ni hakuna tajiri ambaye siyo mfanyabiashara


swali ni je Kwa Nini wewe hutaki kufanya biashara?? na unataka kuwa tajiri, kuwa na maisha mazuri, kuwa na fedha nyingi, kuwa na uhuru binafsi katika maisha, kuwa na uhuru wa kifedha.


Huwezi kupata vyote hivyo kama hufanyi biashara,utaishia kuajiriwa( kufanya biashara za wengine) utaendeshwa kama gari mbovu, utashinikizwa kama compressor mbovu, utagombezwa , utatumiwa full time na Kisha kulipwa posho na usipojiongeza unakufa maskini kabsa au mtu wa kipato Cha kawaida sana yaani mediocre.



Biashara ni akili tu, Haina haja ya kuwa na mtaji fedha Tena siku hizi unafanya affiliate marketing unapata mtaji at the same time unajifunza biashara ukishaijua na mtaji umeupata katka kufanya hiyo affiliate marketing ukianza biashara Yako utaifanya Kwa usahihi sana maana tayari


🛑 *Kosa 1 Kubwa Linalowagharim Wafanya Biashara Wadogo. ( Huenda Na Wewe Linakugharim )*


Mafanikio Katika biashara yana siri nyingi sana ambazo wewe kama mfanya biashara,


Ni muhim sana kuzijua siri hizo, hata kama sio Zote.


Vinginevyo unaweza kujikuta unafanya biashara kwa muda mrefu sana,


Pasina kuwepo na mabadiliko yoyote yale katika biashara yako,


Na hii ndio sababu ni muhimu kwa mfanyabiashara kuwa na nidhamu ya kujisomea pamoja na kuongeza ujuzi kila siku,


Ili kuweza kuzifahamu siri hizo hata kama sio Zote.


Baada ya hayo, leo nilitaka nikukumbushe kunako kosa 1 ,


Linalo tugharim wafanya biashara wengi wadogo,


Na hivyo limepelekea biashara nyingi ndogo kuendelea kuwa vile vile,


Na biashara kubwa kuendelea kunawiri na kung'aa.


Kosa lenyewe ni kutokuwa na PLAN Katika biashara yako,


Plan kwa lugha rahisi tunaweza kusema ni mpango mkakati katika biashara Yako.


Plan katika biasharaa ni kitu muhim sana haijalishi ni biashara kubwa au ndogo.


Kwa sababu plan ( mpango mkakati wa biashara)


Ndio utakusaidia kukupa uelekeo ( direction ) Katika biashara Yako,


Plan ndio itakuonesha nini ufanye katika biashara yako,


Ili biashara yako iweze kupiga hatua moja kwenda hatua nyingine.


Lakini cha kuskitisha zaidi ni kwamba wafanyabiashara wadogo,


Wengi wetu, huwa tunajisahau sana katika msingi huu.


Utakuta Mfanya biashara, anafanya biashara lakini ukimuuliza,


Ni kiasi gani cha pesa unakusudia kuingiza mwezi huu katika biashara yako??


Wengi utakuta hawajui kabisa, wao wanafanya tu bora liende,


Mwingine utakuta kapanga kiasi, lakini ukimuuliza,


Ni nini unakusudia kufanya ili kupata hicho kiasi ulicho kusudia??,


Utakuta hajui, yeye alicho nacho ni matamanio tu.


Je una plan yoyote ya kuongeza ujuzi utakao kusaidia kuikuza biashara yako??


Je unaiona wapi biashara yako baada ya miaka mitano???


Je plan yako katika uwekezaji ni ipi?? Uwekezaji katika matangazo, bidhaa n.k


Wengi katika wafanya biashara wadogo utakuta hawana kabisa majibu ya maswali haya,


Naomba na wewe usiwe miongoni mwao.


Mtu mmoja aliwahi kufeli kupanga ni kupanga kufeli ( Fail to plan, plan to Fail )


Usikubali kabisa kuendesha biashara bila kuwa na uelekeo wowote ule,


Hata kama ni biashara ndogo Kiasi gani, hakikisha unakua na mpango wa ukuaji katika biashara Yako,


Usifurahi tu kuishia kupata hela ya kula na kulipa kodi,


Lengo la biashara sio hilo, lengo la biashara ni siku moja ufikie level ya uhuru wa kifedha,


Level ambayo utakuwa na uwezo wa kuingiza pesa hata ukiwa umesinzia. 


Kumbuka,


Kuendesha biashara bila kuwa na mpango wa ukuaji 


Ni sawa na captain anae endesha meli au au rubani anae endesha ndege bila dira ya uelekeo wa anako kwenda.


Ni ngum kufika na hata akifika atafika amechelewa sana.


Plan, Plan , Plan.


It's me,


@Content creator 

FAIDA ZA MIHOGO MIBICHI KWA MWAUME

 


vital.vitamins.diet 

1.Kuongeza nguvu za

kiume: Mihogo ina wingi wa vitamini B na

zinki ambavyo ni muhimu kwa uzalishaji

wa testosterone ambayo ni homoni

muhimu kwa nguvu za kiume na afya ya

uzazi kwa wanaume.

2.Kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo:

Mihogo ina kiwango kikubwa cha nyuzi

ambazo husaidia kupunguza cholesterol

mbaya na hivyo kusaidia kudhibiti shinikizo

la damu na kupunguza hatari ya magonjwa

ya moyo kwa wanaume.

3.Kusaidia afya ya misuli: Mihogo ni

chanzo kizuri cha potasiamu ambayo ni

muhimu kwa afya ya misuli, pamoja na

misuli ya moyo na misuli ya kiuno.

4.Kusaidia mfumo wa kinga: Mihogo ina

kiwango kikubwa cha vitamini C ambayo ni

muhimu kwa kusaidia mfumo wa kinga wa

mwili kupambana na magonjwa na

maradhi.

5.Kupunguza hatari ya ugonjwa wa

kisukari: Mihogo ina kiwango cha juu cha

wanga ambao hupatikana kwa urahisi na

mwili, lakini hupunguza kasi ya kuongezeka

kwa sukari ya damu, hivyo kusaidia

kupunguza hatari ya ugonjwa wa kisukari

kwa wanaume.

MWAUME ONDOA MSONGO WA MAWAZO ili upige show ya Maana* 

👉Wanaume wengi hujiona kama wana matatizo kumbe HAPANA, baadhi yetu ni sababu ndogo ndogo za kisaikolojia tu zinapelekea hali hiyo.


👉Moja Kati ya sababu inayowarudisha nyuma wanaume wengi ni Hofu na msongo wa mawazo.


Nakupa njia 4 ili kuondokana na msongo wa mawazo.


Unaweza kujiuliza kuna uhusiano gani kati ya msogo wa mawazo na kumudu tendo?


Jibu ni rahisi👇

Tendo la ndoa huhusisha saikolojia/akili na mwili wako. ukitaka kusimamisha taarifa inapelekwa kwanza kwenye Ubongo Kisha Ubongo utaruhusu Damu ipelekwe kwenye Uume.


Ubongo hutoruhusu chochote kama una hofu au una mawazo mengine.

Kila mmoja wetu ana stress ila ukizitawala hapo ndio unakuwa mfalme.


Stress za kazi, Uchumi, Mapenzi, Familia, masomo, kutojiamini tu -hii inatokana sana na Kuangalia video za mwanaume mwingine akitomba Mwanamke.


Tawala hofu na msongo ili ufurahie sex tena.


1️⃣ Pata muda mwingi wa kulala.


Ukiwa free, usitoke out, usiangalie movies, lala tu hata kama huna usingizi, weka Muziki laini sauti ya Chini laza kichwa chako. Ubongo una tabia ya kurekebisha kila kitu wakati mwili umetulia Sana. Wengi hamjaelewa connection kati ya hospital na vitanda, Wagonjwa wa pressure hulazwa japo kwa Masaa kadhaa kabla hajaruhusiwa.


Unapolala muda mrefu ubongo hurudi kwenye hali ya Kawaida. Lala pumzisha ubongo wako unapokuwa na msongo wa mawazo. Ukiamka utaona stress zimepungua au zimeisha kabisa.


Hata kama ni matatizo ya kuyasuluhisha mwenyewe utapata maamuzi sahihi ya kufanya.



2️⃣ Tatua migogoro inayokusababisha uwe na stress.


kumbuka kabla ya kutatua, hakikisha umepata muda wa kutuliza akili yako na kutoyafikiria hayo matatizo. Ubongo utakupa suluhisho, Njia rahisi ya kutatua changamoto ni kutofikiria changamoto.


Kama mahusiano, kazi, shule haviendi vizuri kwa kuwaza sana hakuna kitakachobadilika ila ni kujiumiza, jipumzishe 


Wanaume wengi tunakosea hapa. Tunaruhusu migogoro itupe stress. Hakikisha unashughulikia migogoro kwa kutoshughulika na migogoro.


Mfano Huna laki 5 ya Ada ya Mwanao, Usifikirie kuhusu Ada fikiria natakiwa kupata Hela nyingi na kuendelea kutafuta hela kama anavyofanya siku zote.


kumbuka matatizo hayajawahi kuisha.



3️⃣ Jifunze kanuni ya ku-relax.


Itakusaidia kupunguza au kuondoa masongo wa mawazo kwa haraka zaidi.


👉 Mazoezi 

👉Kuangalia mpira

👉kusoma maandiko

👉Kusali

👉Kuimba

👉Hudhurisha ibada

👉kukaa sehemu yenye utulivu

👉kuangalia video za vichekesho

👉Mwambie rafiki yako mnayeelewana 

👉 Tembea barabarani usiku


4️⃣ Omba Ushauri 


Kwa baadhi ya matatizo unaweza kufanya jitihada zote na ikashindikana, Lazima kuomba msaada wa Mawazo.


👉Watu wenye Elimu na hekima, usiangalie umri 

👉Mshauri wa ndoa na mahusiano

👉Mwanasaikolojia

👉Rafiki yako wa karibu

👉Kiongozi wako wa dini

👉Mtu yeyote unayemuona ana busara.


Napendekeza; Omba Ushauri kwa Jinsi ya KIUME.


Ni muhimu kufanya hivyo inapobidi, Kukaa na kitu moyoni na ubongo ukishindwa kuvumilia husababisha...


👉kiharusi

👉Mshtuko wa moyo

👉 Shinikizo la damu


JINSI YA KUJIKINGA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.

-Fanya Mazoezi mara kwa mara

-Balansi uzito wako

-Acha pombe na kuvuta sigara

-Usitumie dawa zenye kemikali nyingi 

-Tibu magonjwa hatarini kama presha, sukari, vidonda vya tumbo, bawasili na ngiri

-Kula vyakula asilia


Sasa unaweza una weza kufurahia